Recent content by Hance Chance Balance

  1. H

    Fursa za biashara Ngudu, Kwimba

    Kwema wadau poleni na majukumu Nina swali kidogo naomba tusaidiane kuhusu kata ya Ngudu, kwimba. Je Ngudu, Kwimba kuna fursa gani nzuri za biashara zinafaa kuwekeza kule kwa wakati huu?
  2. H

    Biashara ya oil na vilainishi vingine vya magari

    Kwema humu wadau poleni na majukumu mimi ni mkazi wa wilaya ya Meatu mkoani Simiyu nilikua naomba kujua je gharama za kuchukua vilainishi vya magari kama oils (total au Castrol), grease, cc, hydraulic na brake fluid wanauzaje kwa Bei ya jumla mfano jijini mwanza. Kama Kuna wakala wa total...
  3. H

    Nataka kuhamia Bariadi Mjini kufanya biashara ya nafaka

    Ndio kiongozi nimepata madini mengi hapa kilichobaki Ni kwenda kufanya uchunguzi ili nichukue maamuzi sahihi
  4. H

    Biashara ya kubadilishana bidhaa/kuuza bidhaa vijijini

    Kwema wadau kuna jambo nimefikiria nikaona niwashirikishe wadau je kwa mikoa ya simiyu shinyanga au mwanza kuna uwezekano wa kubadilishana bidhaa vijijini kwa mikoa tajwa hapo juu. Mfano nikaenda na dagaa nikarudi na kuku au nikaenda na sabuni na vyombo vya ndani nikarudi na mahindi. Je barter...
  5. H

    Kufanya biashara ya vinywaji au nafaka Kisesa Mwanza

    Shukran sana umeongea fact sana ubarikiwe
  6. H

    Kufanya biashara ya vinywaji au nafaka Kisesa Mwanza

    Kwema wadau nilikuwa naomba kujua je eneo la Kisesa Mwanza ni pachangamfu kufanya biashara ya vinywaji baridi soda maji n.k au ya nafaka kwa Bei ya rejareja Mwenye uzoefu na biashara hizo kwa eneo la kisesa mwanza naomba points zenu muhimu. Asante
  7. H

    Nataka kuhamia Bariadi Mjini kufanya biashara ya nafaka

    Kwema wadau mimi kijana mfanyabiashara mdogo wa vinywaji baridi kama soda, maji n k. Lengo kuu la kuandika uzi huu ni kuomba ushauri wa kibiashara na kimaisha. Nimepata wazo la kutaka kuhamia mjini Bariadi ili niendeleze maisha huko pamoja na biashara zangu Kwa ambaye anapafahamu vizuri...
  8. H

    Nataka kuanzisha biashara ya kuuza soda, naomba ushauri

    Kwema mdau, biashara ya soda ni nzuri iwapo ukipata sehemu nzuri ya mzunguko wa watu na pia Mimi nitatoa gharama za rejareja kuhusu biashara iyo ya soda. Ukinunua being jumla kwa wakala wa vinywaji Bei zake ni kama ifuatavyo 1. Pepsi - 20,000/= (kreti ikiwa na soda zake) ila kama una kreti...
Back
Top Bottom