Rais Uhuru alichofanya ni hikima tupu. Licha yakuwa ana power ya kuzuia kilichotokea lakini alitambuwa kuwa anachokifanya Raila ni ujinga. Na kawaida ujinga ambao hautaleta madhara ukiachwa kutendeka kuliko kuuzuia, mwenye hekima huuacha utendeke. Ndicho alichofanya Uhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.