Kwa nini PPF haiongezi pensheni kwa wale wanaopata zaidi kima cha chini kama wafanyavyo nssf.Hawa nssf wanaongezea wastaafu wote kwa uwiano (yaani asilimia zinazolingana).Hamjui kuwa hali za maisha zinapanda kwa wote.Hii mnatufanya tuwashauri watoto wetu tuwashauri wajiunge na mifuko mingine na...
Ukiona mtu anadharau chuo kikongwe kama Mzumbe UDSM IFM na vingine ujue kesha jaribu kusoma akapigwa Disco bcz kichwani maluweluwe .Nenda kasome kijana achana na hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.