Hawa watu wamekuwa ni kero kubwa kwenye jamii yetu. Ukipanda ma bus ya safari kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine unakutana nao.
Ukipanda daladala wamo, ukienda sokoni wapo. Ukienda kwenye hospitali zetu kubwa utawakuta wapo, ukienda vituo vya mabus au vituo vya daladala wapo.
Yaani Kila eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.