Jina langu nimeliona kwenye list ya waliochaguliwa TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha Na TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Mbeya Centre.Lakini Pindi niangaliapo jina langu kwenye list ya waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja HALIPO..naitwa Hamisi Shabani Hamisi..'"Hamisi Hamisi'" namba yangu ni...
Yapo yote A-Z,cha msing nenda kwenye More and new events watakuletea list1,pemben kushoto kuna kibox ukikclick yanajiachia mengine..au chora jina lako utazamiwe!
Tatizo c kwenda jkt tatizo wanatuchanganya..mfano,Tumain Makumira wanadai chuo kinafunguliwa tar30,sept..na jkt awamu ya3 ni sept ==>,sasa sijui itakuwaje???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.