Recent content by HAMISI HH

  1. HAMISI HH

    Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri

    Habari wana Jamii. Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri. Asante
  2. HAMISI HH

    Ndoa kwa watu wa nchi tofauti

    Habari. Naomba kufahamu je. Raia wa kenya anaweza kuona mke Raia wa Tanzania na vipi huyo mwanamke anaweza kwenda kuishi kenya kwa uaratibu gani muda wote? Asante
  3. HAMISI HH

    Mabati bora ya kuezeka nyumba

    Nipo Dar. hassanbinhamisi@gmail.com
  4. HAMISI HH

    Swali kwa wataalamu wa ujenzi

    wadau wa ujenzi msaada kwa waliowahi kutumia mabati ya kampuni ya SUNBANK na SUN SHARE kwenye swala la uimara na ubora wake yapoje?
  5. HAMISI HH

    Mabati bora ya kuezeka nyumba

    Ok shukrani. Vip bei yake
  6. HAMISI HH

    Mabati bora ya kuezeka nyumba

    Naomba ufafanuzi kwa wazoefu juu ya Mabati kwaajili ya kuezeka nyumba. Ni mabati gani ambayo ni bora zaidi ambayo hayana changamoto za kupauka na gharama zake. Maana sasa hivi viwanda ni vingi sana na kila mtu anavutia kwake.
Back
Top Bottom