Tatizo vijana wakifika jkt wanakataa ajjra za taasisi zingine akili zao hutaka ajira jwtz na kwa wingi wao hawawezi kuajiliwa wote ndio hivyo miaka 2 inawakuta wakiwa vikosini na kurudi nyumbani tena kuna ka msemo wanaitwa wamekuwa wazalendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.