Apo kwenye pharmacy VP mkuu mbona guide book ya nacte hawaja consider physics na mm nimesha apply VP sita pata au nieleweshe na je kama nikisoma certificate ya pharmacy na sjafaulu physics je ntaweza kusoma na diploma pia::Nina C bios&chem,C English na D math na mengine yote C ila physics ndio...
Natamani kuwa mfanyabiashara nakusomea ila paka saiv sijui Nita apply nisome course gan chuo maana nimehitimu kidato cha NNE 2018 Nina dv3 ya22 Nina credit masomo yote but pass ya math na physics F naombeni ushauri kuhusu course nzur itakayo nipa Uhuru wakua mfanyabiashara au kudeal na mambo ya...
Nina uafaulu was division 3 yakwanza Nina C ya bios C ya chem D ya math arts zote C ila iyo physics sasa duh n amna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.