Recent content by hamenya l

  1. H

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi 18 Agosti 2025

    Wakili wa serikal anaomba mahakama, shauli la Tundu lisu lisioneshwe live tena kipindi cha utoaji wa ushahidi ambao ni raia
  2. H

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hili la plate no SSH, nimelikuta mahala sijapata jibu sahihi

    3D ilionekana namba isio rasmi tukaambiwa camera hazisomani na plate namba lakini leo hii kuelekea uchaguzi zimezagaa gari zenye namba za SSH, je hizi camera zinasomaje? Na pia huwezi kukuta zimesimamishwa na trafic, je haziwezi kutumiwa na watu waovu kufanya mambo yasio faa kwa plate za SSH??
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali isingetumia njia ya Mombasa hadi Kisumu kisha Ziwa Victoria kusafirisha boti badala ya njia ya Barabara kutoka Mtwara mpaka Mwanza??

    Anayeweza kunisaidia kufafanua bot inayosafirishwa kupita mikoa zaidi ya 4 kwa siku 30 kwanini lisingesafiri kwa maji kutoka Mtwara mpaka Mombasa Kenya kisha, wasafirishe mpaka bandari ya Kisumu kisha iingie kwenye maji yenyewe mpaka Mwanza? Wataalam walitumia tathimini gani kuona njia...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Msongola Tsh milioni 4

    Eneo linauzwa Tsh 4M maongezi yapo simu 0712813493, eneo lipo wilaya ya ilala, kata ya MSONGOLA mtaa MBONDOLE lipo karibu na barabara pia shule ya sekondari Mbondole, Miundombinu yote muhimu ipo ukubwa Ft 66, urefu upana 50 kwa 44
  5. H

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Serikali yalifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi

    Majibu ya mch. Gwajima haya hapa, sasa sijui nani mkweli https://www.facebook.com/share/r/1A3garVixB/
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mbunge akijivua wadhifa wake kabla ya muhula wake kuisha atakuwa na sifa za kupata stahiki zake?

    Habari, ikitokea mbunge amejivua wadhifa wake kabla muhula wake kuisha na kabla bunge halijavunjwa, Je mbunge huyo atanufaika na kinua mgongo cha ubunge au malupulupu yoyote wanayopata wabunge wengine wanapomaliza muhula wa miaka 5 ya utumishi?
Back
Top Bottom