Recent content by hameid nasseir

  1. hameid nasseir

    Msaada wa kujua suluhisho la kukabiliana na kuvimba na kubanduka kwa rangi katika kuta za ndani ya nyumba

    Nipo maeneo ya Zanzibar nahitaji sana msaada kwa anaefahamu jinsi ya kukabiliana na hili tatizo la kuvimba na baadae kubanduka kwa rangi katika kuta za ndani ya nyumba
  2. hameid nasseir

    Nini chanzo cha marumaru(tiles) kuchakaa haraka? Je, unaweza kuweka nyingine?

    ok...na hizo ambazo zitatolewa zinaweza kutoka na kutumika sehem nyengine?
  3. hameid nasseir

    Nini chanzo cha marumaru(tiles) kuchakaa haraka? Je, unaweza kuweka nyingine?

    haina shida mkuu utaongezea na jinsi ya kufuta au kuedit post na kuchange username if possible
  4. hameid nasseir

    Nini chanzo cha marumaru(tiles) kuchakaa haraka? Je, unaweza kuweka nyingine?

    asante....si swala la ubahili tatizo alikuwa hajui tiles zenye ubora hata hizo alizoweka sasa angeuziwa bei kubwa mambo yangekuwa ni hayo hayo tu
  5. hameid nasseir

    Nini chanzo cha marumaru(tiles) kuchakaa haraka? Je, unaweza kuweka nyingine?

    Habari zenu, kuna ndugu yangu ameweka tiles(marumaru) ila cha kushangaza haijachukua hata mwaka zimechunika. Ushauri wenu kwanza ni nini chanzo cha tiles kufanya hivyo? Je, kuna uwezekano wa kuzitoa na kuweka nyingine?
Back
Top Bottom