🗓️ 26 Machi, 2024
Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Ndugu. Mary Chatanda kwa pamoja wametimiza ahadi yao kwa kumpatia Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kiasi cha Tsh Milioni 2,000,000/= kwaajili ya...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Ndugu. Jokate Mwegelo amesema kuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wake kwakuwa amefanya makubwa katika sekta mbalimbali za Afya, Elimu, Miundombinu, Maji...
Na Amosi Richard[emoji1621][emoji1621]
Ingelikuwa ni kitabu cha hadithi basi ingekuwa hadithi nzuri isiochosha yenye kuvutia sana kuanzia kwa msimuliaji na hadhira yake, lakini ni kazi tu za Mwanamke mmoja kutoka ardhi ya Kizimkazi ndani ya Visiwa vya Marashi ya Karafuu aliyeweza kubadilisha...
ASANTE DKT.JPM ,PONGEZI DKT.SAMIA
Na.Amon Nguma.
Tarehe 17 Machi mwaka huu wa 2024 tumetimiza miaka mitatu tangu kufariki Rais wa awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati.Dkt.John Pombe Magufuli lakini miaka mitatu ya Uongozi wa aliyepokea kijiti Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan...
Katika hili sakata la kitita cha Mafao ya matibabu nichangie kwa kuanza kusema.
Afya ni siasa, Afya ni Biashara na Afya ni Maisha
Hakuna ubishi kuwa Serikali inapaswa kushirikiana na watoa huduma mbalimbali kutoka sekta binafsi. Katika mfumo wa afya Tanzania Serikali imekuwa imekuwa...
MSIMAMO WA WIZARA YA AFYA KUHUSU MABORESHO YA KITITA NHIF 2023.
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amevielekeza Vituo Binafsi vilivyoingia mkataba na NHIF Kuzingatia masharti ya Mikataba yao
Waziri ya Wizara ya Afya Mhe. Ummy Mwalimu amevielekeza vituo vyote vya afya binafsi na vya umma...
Nadhani tungeangalia Kwanza Manufaa ya ya Maboresho haya kabla ya kuingia kwenye lawama na Migogoro.
Kwa Mfano Maboresho haya Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa ngazi za chini
Maboresho haya yanasaidia huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana kwenye ngazi za Kanda pia na sio lazima mwanachama aende mpaka hosp za ngazi taifa.
Maboresho haya yanasaidia huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana kwenye ngazi za Kanda pia na sio lazima mwanachama aende mpaka hosp za ngazi taifa.
Wizara ya afya inafanya kazi kubwa sana kusaidia Wanachama wa Mfuko wa Bima ya afya unakua na manufaa kwao bila kuasiri uhai wa Mfuko. Maboredho hayo yameongeza huduma nyingi Muhimu na dawa ambazo hazikuepo awali.
HERI YA MIAKA 47 YA KUZALIWA KWA CCM
Historia inaturudisha nyuma tarehe 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa Vyama vya Tanganyika African National Uniona (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa Chama Tawala cha Zanzibar wakati huo, Ndipo kikazaliwa...
RAIS WETU MHESHIMIWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AMEFANYA KAZI KUBWA SEKTA YA MAJI, HII NI ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAJI WILAYA YA LUDEWA.
ZIARA ITAGUSA MIRADI IFUATAYO
KATA YA MAVANGA
MRADI WA MAJI KIJIJI CHA MAVANGA
• Gharama za mkataba (Mkandarasi): Tsh. 1,340,809,578.
• Mradi utahudumia...
Unguja. Serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na Rais Dk Hussein Mwinyi inatekeleza miradi yake kupitia ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Wakati leo Rais Mwinyi akitimiza miaka mitatu madarakani, CCM inaridhika kwa kiasi kikubwa jinsi ilani inavyotekelezwa na kiongozi huyo katika sekta...
Serikali kupitia Wizara ya Afya inatarajia kurejea Bungeni tena hapo kesho Novemba 1 2023 na Muswada wa Bima ya Afya kwa wote ambao ulikwama mnamo Mwezi Februari 2023 kwa hoja iliyotolewa na Bunge ya kutokuwepo kwa chanzo endelevu cha fedha kutekeleza Mpango huo.
Muswada huu ni ndoto ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.