Mbona msimu ukiiasha hao simba na yanga wanaenda mikoani kuchukua wachezaji? Kama mikoani hakuna wachezaji wazuri.angalia hata uingereza wachezaji aliwika tu zile big four team wanawachukua .mbona kocha wa england achukui tu timu za big four? yeye huchukua mpaka timu ndogo ndogo
Leo nimeshangaa sana Mimi nipo muheza hapa Tanga.mida ya asubuhi chama Fulani cha upinzani kilipita kiliweka bendera mbili kwenye gari na walikuwa wanawasha mziki wa mgombea wao wa uchaguzi wa 2015.nilishangaa kuona halaiki ya watu pale stendi ikishangilia na kupiga makofu ile gari ilipokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.