upande wa gear box zipo Cvt huku inaitwa eCvt ipo na Dct/E-Dct pia ipo AT ya kawaida so uendeshaji utategemea gearbox ipi. mfn ukiwa na dct hii unakanyaga tu mana ndo mamb yake af cvt za hybrid nyingi hazitumii chain so hazizingui kiivo
Mkuu tatizo watanzania wengi hawako tayari kuadapt teknolojia mpya tena huku kwenye magari ndo kabisaaaa yani watu wanafata mkumbo, leo kuna watu ukiwaambia kuna gari zinatumia mafuta kidogo kuliko ist hamtaelewana so acha waendelee na maisha waliyozoea ila watafunguka taratibu siku wakijua...
Rav 4 hybrid zipo kuanzia 2016 kuja juu, hapo yoyote utakayoimudu kununua ni fresh 2 ziko poa na kuanzia 2020 zipo hybrid na plug in hybrid so popote mfuko wako utakapofika uko salama
mafundi tupo, af hybrid system huwa ni ngum sana kupata shida ni mfumo ambao unaweza kudum zaidi ya 300000km bila shida yoyote. kikubwa tu uitunze na ufanye service vzr. soon nitatoa maelekezo ya namna ya kuitunza na kuifanya gari idumu zaidi. Kuhusu mafundi tupo na spea zake ninazo sema tu...
Yaaa sure thats why nashauri kwa anaependa zaidi Ev basi ni vizuri achukue Plug in hybrid coz mjini atakuwa nachaji nyumbani na akitaka kusafiri anaweka wese tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.