RAIS MAGUFULI, SERIKALI YAKO IMECHAFUKA,CHUTAMA UWEZE KUJISITIRI!
NDUGU RAIS naona Trillion 1.5 imekutoa mafichoni, CAG ameivua nguo SERIKALI yako! CHUTAMA uweze kujisitiri !! USITISHE WATU!
Nasema na wewe nikiwa nina kumbukumbu ya kukamatwa na vyombo vyako vya usalama SAA TISA ALFAJIRI...
Ni kweli kigugumizi ni kikali sana...na inawezekana pia inatokana na madhaifu ya Kamati ya Huduma za Jamii iliyopewa jukumu la kuliwakilisha Bunge kwa kukutana na madaktari ili Bunge liweze kupata upande wa pili wa taarifa baada ya kupata kauli ya Serikali.
Tofauti na ilivyotarajiwa inaonekana...
Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.