km kuna aliyeomba kupitia diploma naomba anijuze tafadhali..... mm mbona profile yangu ipo vile vile km mwanzo hakuna kilicho badilika vp upande wenu wenzangu
mm ivo ivo naambiwa selection is on process bt kwa upande wa editing selection ipo vile vile hii imekaaje kwanini ikuwepo hii sehemu ya editing selection wakati dateline imeshapita na jina langu halimo katika waloambiwa wafanye tena maombi.
mimi nashkuru katika hayo majina simo lakini cha kushangaza kwenye profile yangu mbona kumebakia vile vile hakuna kitu kilichofanyika.....mfano sehemu ya editing selection ipo vile vile wakati dateline imeshapita.
nimejaribu kuangalia jina langu katika hio list nashkuru halimo bt cha kushangaza profile yangu imebaki vile vile hakuna kitu kilichobadilika. vp kiupande wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.