Recent content by Halima james

  1. H

    msaada wana mzumbe

    Ndo nkauliza ni sifa gani zinazotofautisha mzumbe na vyuo vyengine?
  2. H

    msaada wana mzumbe

    Mm npo economic in ppm
  3. H

    Msaada kwa wanafunzi wa mzumbe

    Kwan semster ya pili c kuna mambo ya stragged i thnk w2 wote hua na nafac. Vp kwan uko koz gan?
  4. H

    msaada wana mzumbe

    Upekee upi uliopo mzumbe mkubwa!
  5. H

    Karibuni wa Mzumbe University

    Vp kuhusu bsc economics in project plannng and mgt
  6. H

    karibuni wa mzumbe university

    Mm npo hapo nmechaguliwa bsc. economics in PPM ikoje iyo
  7. H

    karibuni wa mzumbe university

    Vp kuhusu admission letter kwa sisi wa mbali
  8. H

    Karibuni wa Mzumbe University

    kama sisi tunotoka mbali na hatuna jamaa hao morogoro itakuaje hii siku ya kuwasili......
  9. H

    currently CAS a/c,empty program code to majority!

    km kuna aliyeomba kupitia diploma naomba anijuze tafadhali..... mm mbona profile yangu ipo vile vile km mwanzo hakuna kilicho badilika vp upande wenu wenzangu
  10. H

    Wadau wenye diploma za vyuo vilivyo chini ya NACTE

    mm ivo ivo naambiwa selection is on process bt kwa upande wa editing selection ipo vile vile hii imekaaje kwanini ikuwepo hii sehemu ya editing selection wakati dateline imeshapita na jina langu halimo katika waloambiwa wafanye tena maombi.
  11. H

    Notice to public nacte.....to those with dipolma qualification

    mimi nashkuru katika hayo majina simo lakini cha kushangaza kwenye profile yangu mbona kumebakia vile vile hakuna kitu kilichofanyika.....mfano sehemu ya editing selection ipo vile vile wakati dateline imeshapita.
  12. H

    To diploma applicants

    nimejaribu kuangalia jina langu katika hio list nashkuru halimo bt cha kushangaza profile yangu imebaki vile vile hakuna kitu kilichobadilika. vp kiupande wako.
  13. H

    BAF YA MZUMBE VS BAF YA ARDHI and MUCCOBS

    Je sisi wa diploma uwe na gpa ngapi cz nataka kwenda mzumbe bt my gpa ni 3.2 je inawezekana.
  14. H

    BAF YA MZUMBE VS BAF YA ARDHI and MUCCOBS

    Je kwa mzumbe wanchukua kuanzia gpa ngapi kwa m2 aliyesoma diploma ambae antaka kujiunga na degree hapo?
  15. H

    Kuhusu bachelor of statistics

    Naomba kujuzwa kuhusiana na hii koz unafanya kazi zip? na je kuna uwezekano wa kujiajiri.
Back
Top Bottom