hivi mshipa wa aibu wa mwigulu utakatika lini? siamini kama huyu ni binadamu wa kawaida, yaani madudu yote anayoyafanya kichwani mwake anaona ni sawa tu. we juzi tu wamasai kule loliondo wamekukatalia huoni aibu, waziri kagasheki kakuumbua kwa unafiki wako kuhusu loiondo, lakini huoni aibu...
we mwigulu huo umafia unaofanya si siku nyingi utakuwa wazi tu. kwa sasa hivi unaweza kuwa unajidanganya kwamba huonekani lakini wanaoamini Mungu wanajua kuwa hayo yote yako hazarani na tunasubiri siku ili uibike. hivi huuamini kuwa kila kitu kina mwisho wake? kwani ccm itatawala milele? kwani...
yaani mfanye uzembe wa kifisadi mpaka jengo lidondoke halafu eti makamanda wawahi kufika kwenye tukio........mwisho wenu wala hauko mbali endeleleeni tu na ufisadi wenu
kwa kweli maoni haya yanaonesha kuwa watz wamedhulumiwa kwa muda mrefu sasa tunataka demokrasia ya kweli. Asitokee fisadi yeyote wa kuchakachua haya maoni yaingizwe kwenye rasimu kama yalivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.