Recent content by Hakikwanza

  1. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo akutana na jumuiya ya diaspora ya Tanzania nchini Korea

    Haya kamanyie mnawaelewa haya sisi huku nyumbani wanatuptezea muda namalengo yetu. Maana sio watu wema hoa
  2. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari na Chuo Kikuu cha Patrice Lumumba, Russia

    Wote wapo sawa upande wa kuminya demokrasia ila staili yao ni tofauti. Kiufupi Tanzania haina kiongozi ina mtawala
  3. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi Juni 5, 2026

    Mimi binafsi sioni faida ya huyu Rais wala serikali yake na mihimili mingine kama bunge na mahakama haina faida kwa taifa hili. Maana vyote vinaingiliwa na huyu mama. Hivyo hakuna faida hata ya hizo ziara zake. Bullshit government
  4. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Mama tukubali kawa mzigo kwa Tanzania!

    Mpuuzi Kwenye kupita hapo alipitishwa na tume ya uchaguzi na vyombo vya dola. Kufika hapo ni kwa kurithi nafasi hiyo kutokana na Rais Magufuli kufa.
  5. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Mama tukubali kawa mzigo kwa Tanzania!

    Na mimi pia. Wewe na nani mnampenda
  6. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari na Chuo Kikuu cha Patrice Lumumba, Russia

    Hicho chuo kitakua hakijafanya utafiti kina mpa Phd kafanya nini na kwamisingi ipi.
  7. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Je, Padri Kitima Anachuki Na Serikali, Anachuki Na Rais Samia Au Chuki Na Uislamu?!

    Shida kubwa kwa taifa letu ni chawa.Wao wapo kwa kumpinga yeyote anayetetea haki
  8. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    TEC ni taasisi imara na imesimama kwenye kweli shida ni kuwa Watanzania wengi wanauwezo mdogo wa kufikiri(low IQ). Mtu akinufaika na kamfumo fulani hawazi future ya taifa lake hii ni hatari sana. Utendaji na uwajibikaji wa serikali yetu upo chini ya kiwango sana. Tunahitaji taasisi imara nyingi...
  9. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: Uhakiki wa video za CNN unaendelea, serikali inatoa wito wa CNN kufuata weledi na maadili ya uandishi

    Ndio ajabu yenyewe hiyo hoja inapingwa na propaganda. Sijajua serikali inatuonaje wananchi? Mungu anawaona na unafiki wao. Waache kutumia vitabu vitakatifu pale wanapoapa.
  10. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Lakini kwa documentary walioitoa kwa Tanzania yetu mimi siwapuzii kamwe kwani ndugu zetu wamekufa sana na wengine ni walemavu mpaka sasa. Na siku hiyo ya tarehe 29/10/2025 walizima mtandao wa internet na kuvizuia vyombo vya habari visiripoti matukio. Ili baki tbc ikiripoti one side news. Tuwe...
  11. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Kwahiyo kama Trump aliipuuza CCN Kwahiyo yeye ni nani hata akifanya jambo lisipingwe?
  12. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Kwahiyo kama Trump aliipuuza CCN Kwahiyo yeye ni nani hata akifanya jambo lisipingwe?
  13. Hakikwanza

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe iokoe CHADEMA kwa kuchukua maamuzi mazito ya kumuunga mkono Lissu, usisubiri kesho!

    Ni busara kwa Mh. Mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti wa chadema kwa wanachama wengine waingie kwenye kinyang'anyiro hicho. Hii italeta afya kwa chama na demokrasia kwa ujumla. Mi binafsi namshauri abaki kuwa mshauri wa chama kutokana na muda aliokaa madarakani. Kung'ang'ania uenyekiti kwa muda...
Back
Top Bottom