Recent content by Hakikwanza

  1. Hakikwanza

    Je, Padri Kitima Anachuki Na Serikali, Anachuki Na Rais Samia Au Chuki Na Uislamu?!

    Shida kubwa kwa taifa letu ni chawa.Wao wapo kwa kumpinga yeyote anayetetea haki
  2. Hakikwanza

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    TEC ni taasisi imara na imesimama kwenye kweli shida ni kuwa Watanzania wengi wanauwezo mdogo wa kufikiri(low IQ). Mtu akinufaika na kamfumo fulani hawazi future ya taifa lake hii ni hatari sana. Utendaji na uwajibikaji wa serikali yetu upo chini ya kiwango sana. Tunahitaji taasisi imara nyingi...
  3. Hakikwanza

    PostGE2025 Msigwa: Uhakiki wa video za CNN unaendelea, serikali inatoa wito wa CNN kufuata weledi na maadili ya uandishi

    Ndio ajabu yenyewe hiyo hoja inapingwa na propaganda. Sijajua serikali inatuonaje wananchi? Mungu anawaona na unafiki wao. Waache kutumia vitabu vitakatifu pale wanapoapa.
  4. Hakikwanza

    Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Lakini kwa documentary walioitoa kwa Tanzania yetu mimi siwapuzii kamwe kwani ndugu zetu wamekufa sana na wengine ni walemavu mpaka sasa. Na siku hiyo ya tarehe 29/10/2025 walizima mtandao wa internet na kuvizuia vyombo vya habari visiripoti matukio. Ili baki tbc ikiripoti one side news. Tuwe...
  5. Hakikwanza

    Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Kwahiyo kama Trump aliipuuza CCN Kwahiyo yeye ni nani hata akifanya jambo lisipingwe?
  6. Hakikwanza

    Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    Kwahiyo kama Trump aliipuuza CCN Kwahiyo yeye ni nani hata akifanya jambo lisipingwe?
  7. Hakikwanza

    PreGE2025 Mbowe iokoe CHADEMA kwa kuchukua maamuzi mazito ya kumuunga mkono Lissu, usisubiri kesho!

    Ni busara kwa Mh. Mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti wa chadema kwa wanachama wengine waingie kwenye kinyang'anyiro hicho. Hii italeta afya kwa chama na demokrasia kwa ujumla. Mi binafsi namshauri abaki kuwa mshauri wa chama kutokana na muda aliokaa madarakani. Kung'ang'ania uenyekiti kwa muda...
  8. Hakikwanza

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Kwani wafanyakazi wenyewe wanasemaje?
  9. Hakikwanza

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Kuna Mawaziri wana tuhuma za Uchawi

    😃Lazima wapo hawezi kua analopoka tu usikute wamemtest
  10. Hakikwanza

    Tatizo la Maji na Ukame: Lawama zangu zote ni kwa Waziri Lukuvi na Waziri wa Mazingira

    Umesema kweli.Akili zetu zimelaluka kwelikweli.
  11. Hakikwanza

    Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

    Umaskini tulionao ni wa akili kichwani kuanzia viongozi hadi wananchi. Bora zilaruke nguo sio akili. Dark country in dark continent
  12. Hakikwanza

    Serikali ya jiji la Dodoma Ondoeni Machinga barabara ya One way na barabara ya Nyerere square

    Sikubaliani na machinga kupanga bidhaa zao kila sehemu. Shida ni sera mbovu za viongozi wetu ndio zimelilea tatizo hili. Nimejifunza hii inchi kila kiongozi anakuja na dira yake; hivyo taifa kama taifa halina dira.
Back
Top Bottom