TEC ni taasisi imara na imesimama kwenye kweli shida ni kuwa Watanzania wengi wanauwezo mdogo wa kufikiri(low IQ). Mtu akinufaika na kamfumo fulani hawazi future ya taifa lake hii ni hatari sana. Utendaji na uwajibikaji wa serikali yetu upo chini ya kiwango sana. Tunahitaji taasisi imara nyingi...
Ndio ajabu yenyewe hiyo hoja inapingwa na propaganda. Sijajua serikali inatuonaje wananchi? Mungu anawaona na unafiki wao. Waache kutumia vitabu vitakatifu pale wanapoapa.
Lakini kwa documentary walioitoa kwa Tanzania yetu mimi siwapuzii kamwe kwani ndugu zetu wamekufa sana na wengine ni walemavu mpaka sasa. Na siku hiyo ya tarehe 29/10/2025 walizima mtandao wa internet na kuvizuia vyombo vya habari visiripoti matukio. Ili baki tbc ikiripoti one side news. Tuwe...
Ni busara kwa Mh. Mbowe kuachia nafasi ya uenyekiti wa chadema kwa wanachama wengine waingie kwenye kinyang'anyiro hicho. Hii italeta afya kwa chama na demokrasia kwa ujumla. Mi binafsi namshauri abaki kuwa mshauri wa chama kutokana na muda aliokaa madarakani. Kung'ang'ania uenyekiti kwa muda...
Sikubaliani na machinga kupanga bidhaa zao kila sehemu. Shida ni sera mbovu za viongozi wetu ndio zimelilea tatizo hili. Nimejifunza hii inchi kila kiongozi anakuja na dira yake; hivyo taifa kama taifa halina dira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.