Ndugu zangu wana Jf,,,hasa wale wenzngu walio na nia ya kuingia kwnye makampuni ya ulinzi
Kuna hii kampuni inaitwa quika security,, makao makuu yake yapo ilala bungoni,,hii kampuni sio ya kuingia kabisa,,kampuni moja mbovu sana kuanzia menejiment ya askari hadi kazini,,
.mshahara una variation...