Cosmasjulius, kinachonpa waswas mmii Ni hiyo 4yrs kwamba atasettle kwangu tuu as nko men pke ake nlovtiwa nae najua awezi kataaa wte kingne mm bnafs miaka m4 naeza bdl mindset angu hapo ndo tatizo linapoanzia ila nampenda
Kumbuka nampenda. Assume ndiyo wewe binti unampenda nawe anakupenda hadi mwenywe unajua kabisa hapa unapendwa.
Nshawai mtamkia mara kibao tuachane tukigombana ila utaombwa msamaha hadi huruma afu kosa ni lako.
Umeishiwa umepigika akijua anaktoa ata ten usogeze maisha kwao awako vizuri ata...
Balvejmumt, hili swala hadi nalileta humu nmekaa nalo sana datz nmelifkisha apa coz apa kila m1 ana upeo tofaut wa kufkiria kitachonfaa basi ntachukua.
Nipo tayari nae yupo tyr kwa chcht shida ye n mwanachuo anagraduate mwezi wa5 mm n mwanachuo mwaka wa1 na kozi nayosoma ina 4yrs na binti hataki kuolewa.
Yaani ameshakataa kuolewa na yule mtu alomchumbia kwa ajili yangu.
Nina mchumba wangu (GF) ambaye nilianza uhusiano naye O Level 2016, muda huo nipo form 4 yeye akiwa form 3.
Kipindi tunasoma sikuweza kubahatika kufanya naye mapenzi kwa sababu shule yetu ilikuwa na sheria kali sana. Binti alikuwa muoga sana; nilimpata siku karibia na kufanya mitihani.
Shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.