Recent content by Hainz_04

  1. H

    Sifa 10 za mwanamke mzuri anayekufaa

    mi ninae japo c mke
  2. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    nshawai tafta visa mzeee lkn amna badlko
  3. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Cosmasjulius, kinachonpa waswas mmii Ni hiyo 4yrs kwamba atasettle kwangu tuu as nko men pke ake nlovtiwa nae najua awezi kataaa wte kingne mm bnafs miaka m4 naeza bdl mindset angu hapo ndo tatizo linapoanzia ila nampenda
  4. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    sema neno mkuu
  5. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    OK nashukur japo ushaur wako si ule nauhtj KICHWA PANZI ..!!!!Yaani haumatch na mada tajwa..asante
  6. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Kumbuka nampenda. Assume ndiyo wewe binti unampenda nawe anakupenda hadi mwenywe unajua kabisa hapa unapendwa. Nshawai mtamkia mara kibao tuachane tukigombana ila utaombwa msamaha hadi huruma afu kosa ni lako. Umeishiwa umepigika akijua anaktoa ata ten usogeze maisha kwao awako vizuri ata...
  7. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Balvejmumt, hili swala hadi nalileta humu nmekaa nalo sana datz nmelifkisha apa coz apa kila m1 ana upeo tofaut wa kufkiria kitachonfaa basi ntachukua.
  8. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    ubaya inakuja wapi mkuu binti ana20yrs afu jamaa alienda direct kua anahtaji amuoe na yupo tyr kumsbr amalze chuo
  9. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Sawa. Kama umejtahd kusoma basi jtahd kusema chochte kulingana na kile umekisoma.
  10. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Tuttyfruity, Sent using Jamii Forums mobile app Toa ushaur plz nina uhtaji mkubwa wa mawazo yko.
  11. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Frankenstein, kweli ila ingekuwa ni wewe ndo mimi ungechukua uamuzi gani mkuu?
  12. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Nipo tayari nae yupo tyr kwa chcht shida ye n mwanachuo anagraduate mwezi wa5 mm n mwanachuo mwaka wa1 na kozi nayosoma ina 4yrs na binti hataki kuolewa. Yaani ameshakataa kuolewa na yule mtu alomchumbia kwa ajili yangu.
  13. H

    Naombeni ushauri na mawazo yenu

    Nina mchumba wangu (GF) ambaye nilianza uhusiano naye O Level 2016, muda huo nipo form 4 yeye akiwa form 3. Kipindi tunasoma sikuweza kubahatika kufanya naye mapenzi kwa sababu shule yetu ilikuwa na sheria kali sana. Binti alikuwa muoga sana; nilimpata siku karibia na kufanya mitihani. Shule...
  14. H

    Nakaribia kula tunda lakini nahisi kuna mahali nakosea, niongezeeni maujanja ili nisikose hili tunda

    Ningekula kimasihara shida nliona nisile kimasihara ila mazingira yalikua yanaruhusu kula kimasihara mkuu shida nliona nfate protocol...ubaya umekuja pale nlpoanza kufata protocol naona kama naenda mkosa datz nkatk niongezew tactic mkuu....japo nmekosea sana kuelezea.
Back
Top Bottom