Recent content by haha

  1. haha

    Serikali yalifungia kanisa la Spirit Word Ministry

    Huyu jamaa alikuwa anauza vipodozi Sasa Kahamia huku!? Daaa
  2. haha

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Unataka Kwa akili ya Nini!? Kuna waliospecialize kwenye fani mbali mbali 1) kesi 2)kumdhuru mgoni 3) kumdhuru mwizi wa Mali Yako 4) kuzuia wizi nk Nb SEMA unataka yupi tukupe namba!?? Usikubali kuonewa na mtu
  3. haha

    Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa

    Mtu anakataa nguruwe anakula kasa Kisha anakufa !!!
  4. haha

    Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa

    Mungu amewapa watanzania ngombe,mbuzi, samaki,kuku ,bata,kondoo,mbuzi katoliki samaki wa maji chumvi na barid!! Dagaa nk !!! Unaaacha vyoote unakula Kobe " kasa" !??? Naomba nisisikitike
  5. haha

    Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

    Uzi umegonga mwamba
  6. haha

    Serikali angalieni masilahi ya wafanyakazi wa sekta binafsi

    Humu jf Kuna watoto wengi Sana akina Mpwayugu ambae huwatukana walimu !!mtu anakwambia kwenye mining industry engineer aliyetika UD analipwa million 23 Huwa nacheka sana
  7. haha

    Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

    At from diploma to masters
  8. haha

    Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

    Mimi Kila siku naliongea Hilo ila wapumbavu hawaelewi
  9. haha

    Wizara ya Elimu na hili za kuzuia nyimbo zisizo na maadili kwenye mabasi ya wanafunzi tu? Linashangaza!

    Kuna wakati maamuzi mengine yanashangaza kidogo au Sana!! Sijajua basata Huwa inawaogopa Bongo favour au vipi!? Juzi Wizara ya Elimu imekuja na azimio la kukataza nyimbo zisizo na maadili kupigwa kwenye mabasi ya shule!! Amaa!!!, kumbe mnajua kuna nyimbo zisizo na maadali? Kwanini, msizifungie...
  10. haha

    Usalama wa taifa kazi yao nini? Watuambie Panya road ni akina nani?

    Huwa najiuliza nikiona apple [emoji519] za nje zinauzwa Tz ,vitunguu na matikiti majinya Tz yanaozwa Kenya Kwa wingi tena nasikia Kenya Wana export hayo mazao Yani vitunguu,matikiti,na machungwa Kwa wingi kutoka Tanga to Nairobi then Europe kinachonifanya nijiulize ni hiki!! 1) kwann tiss...
Back
Top Bottom