Kwa hivi sasa bangi inasubiri. Hiyo ngada hapo bongo imekua Kama mkaa kila mtaa Kuna muuzaji. Ila zamani walikua wanafanya vigogo wa serikali hivi Leo wanatumia baadhi ya watu. Sababu wao wanaogopa kukamatwa.
Tatizo wabongo wamefanya hii ni Biashara,wakati hiyo ni dili. Hivi sasa kila mtu anajua mpaka bei ni kiasi gani,pipi uko vipi.yaani Kama ilivyokua kwa maalbino zamani ilikua mchongo wa selikari ila sasa tx yote albino pesa hakuna siri tena,madawa mayo hivyo hivyo
Kaka hakuna kitu kinacho itwa raw heroine. Naongea kitu ambacho Nina uhakika nacho kwa mda wa Miaka zaidi ya 15. Wengi wenu hamjui nini heroin,ila ukiona mtu kashikwa unataka kujifanya unajua. Kwanini atujiulizi kwanza ni Nani wanaleta madawa nchini kwetu? Kwa maana Tanzania ndio inaongoza kwa...
Vizuri sana Kama siku nyingine utauliza kwanza! Unga au heroin Sio Brown ni mweupe ambao unatokana na tunda au mti unaoitwa opium. Ambalo tunda Hilo usindikwa na ule utomvu wake huwa unga. Ili kuwa Brown watu wanachanganya na makemikali mengine ikiwemo sukari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.