Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.