Recent content by Gwangway

  1. G

    Lowassa, Sitta, Kilango wapata pigo kubwa!!!!

    Sitta ni mzee sana, hafai kuwa Raisi
  2. G

    Nape Nnauye: Tumehujumiwa..

    Hawa CCM kweli wamepoteza uwezo kuona uhalisia wa mambo. Fikiria mgombea wa CCM jimbo la Karatu 2010 alikuwa anajigamba kuwa atambwaga Dr. Slaa, kweli ni akili hiyo? Slaa na umaarufu wake tangu 1995 pale Karatu na mambo mazuri yaliyofanyika ya maendeleo ndani ya kipindi cha ubunge wake pale...
  3. G

    Nape Nnauye: Tumehujumiwa..

    CCM mkome kuiba kura, pale ambapo uchaguzi ni jimbo moja upinzani unaweza kuweka nguvu yote kulinda kura, CCM haiwezi kushinda kamwe. Labda kwenye uchaguzi mkuu ambapo upinzani una uwezo mdogo wa kulinda kura nchi nzima
Back
Top Bottom