Duhh hii thread kiboko sn, nimesoma comments zote. Imenigusa sn na mimi nitoe na nitoe mguso wangu.
Juzi tu baada ya kununua nguo za pasaka za mtoto wangu wa pekee. X wife wangu alinitumia msg baada ya kuona nguo za mtoto wake. Akasema. Thanks for CARING. God bless U.
Nikamkumbuka...
mshunami Lowasa kuongoza na swali la Viumbele vya kuanza navyo raisi atayechaguliwa, haya yalikuwa maswali mawili tofauti. Swali la vipaumbele, liliruhusu je ni vipaumbele vipi raisi atayechaguliwa aanze navyo. Wanachi walioshiriki walisema Kuthibiti ufisadi na rushwa. Hii ni changamoto kwa...
SWALI LA CHAMA CHENYE MVUTO, Lililenga washiriki kila mtu na ikitikadi yake awaeleze watafiti ktk eneo analoishi au kufanya kazi chama gani chenye mvuto na kupendwa na wananchi.
Kulingana na kura zilizopigwa, matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa chama cha siasa nchini kilichochukua nafasi ya...
WANAJUKWAA,
Nnimeamuwa kuweka maneno machache ambayo yalisomwa kwa mwandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ripoti, pia kiambatanisho cha matokeo ya jumla. Kuelezwa kuwa Positive Thinkers imedhaminiwa na Loawasa kwa 100% mimi kama raisi wa PTT, hizo ni changamoto kama changamoto hasi zingine...
Wanajukwaa, yeyote anahitaji maelezo kuhusu utafiti, tuwawiliane kupitia 0766606162. Uliza maswali yeyote yanayohusiana na utafiti na mfumo uliotumika. Pia unaweza kutembelea www.positivethinkers.or.tz kufahamu habari zaidi.
Watanzania wengi wanafikiri njia pekee ya kumaliza changamoto ni kutatua changamoto zao pekee. Kumbe kuna changamoto zinazohitaji ushirikiano wa pamoja na kutoa elimu kwa umma. PTT ilichokifanya kupitia utafiti umegusa asilimia furani kwenye mabadiliko yatayosababisha mabadiliko. Rgsd PTT...
Wana MMU
Je kuna ukweli juu ya tabia ya huyu msichana wangu kama anaweza kuwa mke bora na mke mwenye kutunza familia na kuwa mshauri mwema kwenye masuala ya maendeleo na ya kifamilia kwa ujumla.
Jinsi tulivyo wote tunaishi Dar es salaam, lakini tunaweza kuonana mara 1au 2 kwa mwezi. Tangu...
Inategemea na makabila. Ila kwa mila na tamaduni mahari haipaswi kurudishwa kwa sbb tayari umeishi na binti yao na pia ikitokea umezaa naye watoto hiyo ndiyo muhimu maana huwezi kufanya hivyo.
Lkn unaweza kudai mahari km umeachana na mke wako na akaolewa sehemu nyingine mwanaume mwingine na...
Haa kuwa wa kwanza ndo kumpa mzigo?duhh ? Umenichekesha, No please unaweza kuwa dating nyingi au just normal friendiship zisiwe na choices, unaweza ukawa na dating chache zenye muono chanya, siyo kila mtu achungulie VIP.
Lakini wadada wa siku hizi au wanaume, they fall in love like falling with...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.