Recent content by Gwadakulima

  1. G

    Nina hakika ujinga sasa umevuka mipaka

    Mimi sioni haja yakumlaumu na kumdhihaki Rais na wasaidizi wake.Yule ni kiongozi lazima aheshimiwe 1)kupokelewa na kupigiwa ngoma zile ni protocol Za kiongozi ndo maana hata Marais wa nchi rafiki walivyokuja kwenye misiba ya Marais wetu waliotangulia mbele y'a haki protocol zilifuata kukagua...
  2. G

    Ni kweli Vatican wanakataa kumpa Uaskofu Padri Kitima baada ya kupata tetesi anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA?

    Kwanza mtoe maada unaonyesha dhahiri shahiri una chuki na husda na Fr kitima 1)Mchakato wa kumpata Askofu ni Siri may be anayejuwa cardinal na watu wake wa vetting je? aliyekuambia ni mmoja wa hao watu? Naomba jibu 2)Hakuna kiongozi wa dini yoyote anayekatazwa kuwa mshauri wa kiroho wa kiongozi...
  3. G

    Askofu Nyaisonga: Mkataba wa Bandari ulivyo unatoa mamlaka yote ya kiuchumi na uendeshaji kwa wageni

    Msiwe mnakurupuka vijana na viber za smart Askofu Nyaisonga ni miongoni mwa maaskofi genius nenda Kaengesa seminary ukapewe record zake(ndipo utavojiona mjinga mwenyewe)
  4. G

    Akili za Chifu Mangungo wa Msovero

    Mabeberu wameweka mizizi yao hadi chumbani mwa nchi(kuna agent wa wabeberu) .so ukienda tofauti nao huwezi kusurvive yu wapi? Gadaffi,JPM na wengine wengi walioenda tofauti na mabeberu.nchi yulipata mwamba JPM tukamtukana na kumkejeli kwa matusi hadi baada ya kifo chake ambaye alijitolea kutetea...
  5. G

    Bwawa la Nyerere linajaa likiambatana na faida kibao

    Wapi? Mwangosi mbowe yupo kwenye mialiko anakula bata
  6. G

    Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

    Chonde wadau tusishabikie sanaa hili swala bali tumuombe Mwenyezi Mungu aingilie kati, DRC ameharibu sanaa kwanza aliaza kutuhumu mashirika yakimataifa kwamba yanachochea vita na uvunjifu wa amani DRC,Pili akamfukuza balozi wa Rwanda harshly wakati EAC ipo ndo mahali pakusemea, Tatu akaituhumu...
  7. G

    Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

    Zitto mama ake alikuwa mwenyekiti wa chama cha walemavu Tz na alikuwa mjumbe wa bunge la katiba hakuwa m2 mdogo kama unavyodhani may usemi Sugu ndo katoboa kwa juhudi binafsi
  8. G

    Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

    Unaweza kinipa mchango mmoja uliotolewa na walimu ambao unaonyesha kuwa upeo wao mdogo sana. Naomba uelewe kuwa walimu wanatumika kwenye kazi nyingi za serikali kutokana na uwingi wao na utii wao katika kazi Kwahiyo usione kundi la walimu au mwl fulani fulani katoa mchango kwenye ghafla ya...
  9. G

    Tough time never last, tough people do! January Makamba is a tough man

    Makamba is not only tough also is Giant 1)Amezaliwa kwenye chimbuko la siasa na amepita kwenye mikono ya wakongwe wa siasamf mzee mkapa na JK 2)Amefanya kazi kwenye mashirika yakimataifa yaliyofanya kazi nchini kama m2 wa serikali in blanket 3)Kafanya kazi ikulu kama msaidizi wa Rais na...
  10. G

    Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

    Ni kweli mf vyombo vya ulinzi na taasisi za serrkali posho na allawance zao zilizo nyingi zipo kwenye salary slip zao ndo maana ongezeko kubwa Lakini watumishi wengine hasa Tamisemi ambao posho na allowance zote utalipwa na mwajiri wako ambaye ni mkurugenzi salary slip yako ina mshahara tu...
  11. G

    Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

    Acha kejeli kijana watu wanafanya kazi kwa uvumilivu wa dhiki sio uzalendo 1)wengi wetu tumetoka familia duni,huo ualimu ndo cheo kikubwa kwenye familia 2)ujasilia mali unahitaji mtaji na wakati mwingine unajionea wezio wanaofanya ujasiliamali wanavyonyanya kwa kubomolewa vibanda na kufukuzwa...
  12. G

    Waliolazimisha Hayati Magufuli aongezewe muda wa kutawala sasa hivi wamesahaulika

    Utendaji bora wa JPM na Elimu ambayo aliimwaga kwa wananchi kuhusu mafisadi wanavyoitafuna nchi na baadhi yao aliwatumbua.Genge la wahuni according to polepole wamejaribu kumchafua JPM ili asahaulike mbinu zote zimegonga mwamba na mpaka sasa cap la JPM wanaliona hawana mbadala wanaishia ngonjera...
  13. G

    Serikali ya CCM mmeamua kutusaliti wananchi, Tunaenda kukumbwa na njaa kubwa hali ni mbaya

    Mnataka serikali ya Ccm ikawanunulie mahindi mbolea ilikuwa hadi 140000 mfuko wa kilo 50 sasa na mvua haikuwa nzuri waliolima wamepata mavuno machache ulitaka wakuuzie bei ndogo ili wao wale hasara?.Mwakani njoo shamba ndo utajuwa karaha ya mkulima.Mwacheni mama afungue nchi na anaupiga mwingi...
  14. G

    Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

    Wewe sio Mungu na hakuna binadamu anayejuwa hukumu ya mwezie.Je? Wewe utakuwa wapi? Baada ya kifo chako yaani unaongea as if utaishi milele
  15. G

    Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

    Mama anatakiwa amshukuru Mungu kwa alichokipata kuna watz wametumikia taifa hili kwa weledi leo hii wana maisha magumu hata matibabu shida.Akumbuke huwezi kupambana na mali za ulimwengu hii vyote ni vya Mungu.wazungu wametuiibia Africa na wanajichotea hadi leo lakini rasilimali bado zimejaa na...
Back
Top Bottom