Ndugu zangu naomba yeyote mwenye uzoefu na bidhaa za stationary kutoka China anijuze, nina millioni kumi, na kuna mtu kaniambia naweza fanya hiyo biashara na nikapata faida kubwa zaidi.Nimeshapata stationary kumi, ambazo ni kubwa na wanahitaji niwe nawazambazia vitu kama madaftari,penseli na kalamu