Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;
PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C
(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?
(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.