Recent content by Gumasa

  1. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Sasa ninauza kwa offer ya Pasaka.1,500,000/= tu.Unapata kiwanja Cha 20×20 mita. Vimebaki viwanja vitano tu(5)! Wahi sasa 0674348222
  2. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Ninaendelea kuwakaribisha na ninashukru kwa wale mnaopiga simu na wale ambao tayari wameshafika kuona site zilipo na wale ambao tayari wameshalipia. Nawahakikishia kuwa viwanja viko eneo zuri na kila anayefika hawezi lukwepa kununua kiwanja maana bei ni rafiki.Usafiri kwa ajili ya kutembelea...
  3. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Uko sawa.Wengi hatuna uelewa.Nashukru Sana kwa kuendelea kukumbusha.Karibu nikuuzie kiwanja,video ziko hapo juu unaweza kutazama.Bei ni rafiki kabisa.
  4. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Ahsante kwa ushauri.Nimeweka video Hapo juu unaweza kutazama
  5. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Ooh! Ahsante sana,nashukuru Sana kwa ushauri.Ndiyo naendelea kujifunza.Barikiwa Sana🙏🏼
  6. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Nimekuuliza kwa maana ya kwamba,wengine hutaka picha ya eneo iliyopigwa kawaida,ikionyesha uwanda mzima wa mazingira yake na wengine hutaka picha ya mchoro/ramani ya viwanja.
  7. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Sawa.Unahitaji picha ya aina gani mkuu??
  8. Gumasa

    Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Kwa wale ambao bado wanahitaji maeneo kwa ajili ya kujenga makazi,karibu sana kwa mara nyingine.Viwanja vipo Kisesa Mikoroshoni.Kutoka Lami barabara ya Mwanza-Musoma ni shilingi 1000/= tu kwa pikipiki mpaka viwanja vilipo. Bei ya kiwanja ni 1,700,000/= mpaka 2,000,000/= kutegemea na ukubwa wa...
  9. Gumasa

    Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

    Kwa wale ambao wanahitaji viwanja vya makazi bado tunayo maeneo mengi! Tuendelee kuja kwa wingi.
  10. Gumasa

    Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

    Unaweza kujenga,lakini eneo lote linaweza kumalizwa na nyumba tu kutegemeana na ramani yako.Kwa ushauri ni Bora ukapata eneo kubwa zaidi ambalo utajenga nyumba ikaonekana na fence ikapumua vizuri.Vyumba vinne kwa ramani ya kisasa ni nyumba kubwa kwenye kiwanja Kama hicho ni kuinyima muonekano wa...
  11. Gumasa

    Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

    Njoo nikuuzie viwanja vyangu mwenyewe.Acha kukariri
  12. Gumasa

    Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

    😀😀 Ukosefu wa hela ni changamoto kubwa Sana,kila Jambo unawaza kuibiwa.Wakati mwingine unapaswa kufikria mafikrio chanya kila wakati.
  13. Gumasa

    Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

    Pole sana,endelea kubwabwaja huku muda unaenda. Siku ukiamka utakuja kujua ulikawia. Sisi ni kampuni linalotambulika na limesajiliwa kwa mjibu wa sheria na ukitaka kununua baada ya kuridhika na kiwanja,unanunua na kusainishwa chini ya uongozi na hata Kama una mwanasheria wako unakuja naye...
Back
Top Bottom