Ninaendelea kuwakaribisha na ninashukru kwa wale mnaopiga simu na wale ambao tayari wameshafika kuona site zilipo na wale ambao tayari wameshalipia.
Nawahakikishia kuwa viwanja viko eneo zuri na kila anayefika hawezi lukwepa kununua kiwanja maana bei ni rafiki.Usafiri kwa ajili ya kutembelea...
Nimekuuliza kwa maana ya kwamba,wengine hutaka picha ya eneo iliyopigwa kawaida,ikionyesha uwanda mzima wa mazingira yake na wengine hutaka picha ya mchoro/ramani ya viwanja.
Kwa wale ambao bado wanahitaji maeneo kwa ajili ya kujenga makazi,karibu sana kwa mara nyingine.Viwanja vipo Kisesa Mikoroshoni.Kutoka Lami barabara ya Mwanza-Musoma ni shilingi 1000/= tu kwa pikipiki mpaka viwanja vilipo.
Bei ya kiwanja ni 1,700,000/= mpaka 2,000,000/= kutegemea na ukubwa wa...
Unaweza kujenga,lakini eneo lote linaweza kumalizwa na nyumba tu kutegemeana na ramani yako.Kwa ushauri ni Bora ukapata eneo kubwa zaidi ambalo utajenga nyumba ikaonekana na fence ikapumua vizuri.Vyumba vinne kwa ramani ya kisasa ni nyumba kubwa kwenye kiwanja Kama hicho ni kuinyima muonekano wa...
Pole sana,endelea kubwabwaja huku muda unaenda. Siku ukiamka utakuja kujua ulikawia.
Sisi ni kampuni linalotambulika na limesajiliwa kwa mjibu wa sheria na ukitaka kununua baada ya kuridhika na kiwanja,unanunua na kusainishwa chini ya uongozi na hata Kama una mwanasheria wako unakuja naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.