Recent content by Gumasa

  1. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua hisa, ninaanzaje?

    Jambo wakuu! Baada ya kusoma maandiko mengi sehemu mbalimbali yanayohusu ununuzi wa HISA,sasa ninajaribu kufikri kwa kina ili niweze kufanya maamuzi. Ninaomba kueleweshwa kwa ufasaha na uaminifu hatua za kufuata,usalama wa fedha,kiwango cha mtaji na mahali pa kuwekeza ili nipate faida. Ahsante!
  2. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Viwanja vipo Mkurugenzi.Nipigie 0674348222.
  3. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Usiogope, viwanja ni bei nafuu, wahi kabla mazingira hayajakuacha

    Kwa sasa nyegezi hatuna viwanja.Kwa uelekeo huo,tunavyo usagara,nyashishi pamoja na sawha
  4. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Usiogope, viwanja ni bei nafuu, wahi kabla mazingira hayajakuacha

    Ndiyo tunavyo!
  5. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Usiogope, viwanja ni bei nafuu, wahi kabla mazingira hayajakuacha

    Kwa upande wangu hapana. Viwanja nilivyonavyo ni Kisesa mkabala na chuo cha mipango,Sawha Buhongwa road,Fumagira,Kona ya Fella karibu na SGR,pamoja na maeneo mengine. Karibu sana
  6. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Usiogope, viwanja ni bei nafuu, wahi kabla mazingira hayajakuacha

    Bei zetu ni kuanzia Ts 1,500,000/= na kuendelea. Lakini pia kwa wale wanaohitaji viwanja vya gharama kubwa ndani ya mji vinapatikana pia. Ukubwa wa viwanja ni 20×20. Wahi mapema kabla hujaachwa na mazingira.
  7. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha Tsh 2M nje ya mji na kiwanja 7M -12M ndani ya mji, kipi ni sahihi?

    Wakuu habari ya leo...!? Naomba tushirikishane mada hii kidogo ili tupate uelewa wa pamoja na kuweza kusaidiana namna ya kwenda. Kulingana na uzoefu wangu katika kazi ya uuzaji wa viwanja vya makazi, nimekuwa nikipata wateja wa aina mbalimbali kulingana na bajeti zao. Je, ni kipi bora kati ya...
  8. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Ninaishukuru JF Kwa kuniongezea kipato. Sikutarajia!

    Heshima kwenu wakuu!! Sikuwahi kufikri hata siku Moja kuwa jukwaa hili linaweza kuwa na nguvu kiasi hiki Mara nyingi nilikuwa nikisoma na kuweka comment zangu Kwa mazoea mpaka siku nilipoamua kubadili mtazamo. Niliamua kutangaza biashara yangu ya uuzaji wa viwanja bila kujiamini nikifanya...
  9. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Sasa ninauza kwa offer ya Pasaka.1,500,000/= tu.Unapata kiwanja Cha 20×20 mita. Vimebaki viwanja vitano tu(5)! Wahi sasa 0674348222
  10. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Ninaendelea kuwakaribisha na ninashukru kwa wale mnaopiga simu na wale ambao tayari wameshafika kuona site zilipo na wale ambao tayari wameshalipia. Nawahakikishia kuwa viwanja viko eneo zuri na kila anayefika hawezi lukwepa kununua kiwanja maana bei ni rafiki.Usafiri kwa ajili ya kutembelea...
  11. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Uko sawa.Wengi hatuna uelewa.Nashukru Sana kwa kuendelea kukumbusha.Karibu nikuuzie kiwanja,video ziko hapo juu unaweza kutazama.Bei ni rafiki kabisa.
  12. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Ahsante kwa ushauri.Nimeweka video Hapo juu unaweza kutazama
  13. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Nimeweka video Hapo juu!
  14. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Ooh! Ahsante sana,nashukuru Sana kwa ushauri.Ndiyo naendelea kujifunza.Barikiwa Sana🙏🏼
  15. Gumasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

    Nimekuuliza kwa maana ya kwamba,wengine hutaka picha ya eneo iliyopigwa kawaida,ikionyesha uwanda mzima wa mazingira yake na wengine hutaka picha ya mchoro/ramani ya viwanja.
Back
Top Bottom