Jambo wakuu!
Baada ya kusoma maandiko mengi sehemu mbalimbali yanayohusu ununuzi wa HISA,sasa ninajaribu kufikri kwa kina ili niweze kufanya maamuzi.
Ninaomba kueleweshwa kwa ufasaha na uaminifu hatua za kufuata,usalama wa fedha,kiwango cha mtaji na mahali pa kuwekeza ili nipate faida.
Ahsante!
Kwa upande wangu hapana.
Viwanja nilivyonavyo ni Kisesa mkabala na chuo cha mipango,Sawha Buhongwa road,Fumagira,Kona ya Fella karibu na SGR,pamoja na maeneo mengine.
Karibu sana
Bei zetu ni kuanzia Ts 1,500,000/=
na kuendelea.
Lakini pia kwa wale wanaohitaji viwanja vya gharama kubwa ndani ya mji vinapatikana pia.
Ukubwa wa viwanja ni 20×20.
Wahi mapema kabla hujaachwa na mazingira.
Wakuu habari ya leo...!?
Naomba tushirikishane mada hii kidogo ili tupate uelewa wa pamoja na kuweza kusaidiana namna ya kwenda.
Kulingana na uzoefu wangu katika kazi ya uuzaji wa viwanja vya makazi, nimekuwa nikipata wateja wa aina mbalimbali kulingana na bajeti zao.
Je, ni kipi bora kati ya...
Heshima kwenu wakuu!!
Sikuwahi kufikri hata siku Moja kuwa jukwaa hili linaweza kuwa na nguvu kiasi hiki
Mara nyingi nilikuwa nikisoma na kuweka comment zangu Kwa mazoea mpaka siku nilipoamua kubadili mtazamo.
Niliamua kutangaza biashara yangu ya uuzaji wa viwanja bila kujiamini nikifanya...
Ninaendelea kuwakaribisha na ninashukru kwa wale mnaopiga simu na wale ambao tayari wameshafika kuona site zilipo na wale ambao tayari wameshalipia.
Nawahakikishia kuwa viwanja viko eneo zuri na kila anayefika hawezi lukwepa kununua kiwanja maana bei ni rafiki.Usafiri kwa ajili ya kutembelea...
Nimekuuliza kwa maana ya kwamba,wengine hutaka picha ya eneo iliyopigwa kawaida,ikionyesha uwanda mzima wa mazingira yake na wengine hutaka picha ya mchoro/ramani ya viwanja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.