Mimi siyo chawa, wala sihitaji na wala sina maslahi yoyote katika kusema huu ukweli wangu. Ukweli kabisa Rais Samia ni mama muungwana sana,ifike mahali tukubaliane tu.
Kwa sisi watu wa kanda ya ziwa ilifikia mahali tukawa kama hatumuelewi,kumbe watendaji wake ndiyo wanamwangusha na malengo yao...
PC moja ni samaki mmoja.Kwa size ya samaki wa nyavu ya nchi 4.5 wanaingia 2 katika kilo moja.Bei ya pc ni maelewano kulingana na soko lako au kama utahitaji kwa kilo napo ni maelewano.Mzigo nashushia mwanza baada ya makusanyo kutoka mialo mbalimbali ya ziwa victoria
Habarini za majukumu ndugu wadau wa JF.
Ninafanya biashara ya kuuza samaki aina ya sato. Size ya samaki wanaopatikana kwa wingi kwa sasa ni wale wanaovuliwa katika nyavu ya nchi 4 mpaka nchi 4.5.
Kama kuna mdau anafanya hii biashara ya samaki mahali popote na angependa kupata mzigo kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.