labda kwa mimi ningependa katiba mpya iwe kama ifatavyo;
Kiongozi yeyote atakaye hujumu mali ya serekali wamchukulie hatuwa kali na ikiwezekana mali zake zitaifishwe hiyo ingesaidia kila mtu kuwa makini na kile alichoshikilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.