Wabunge? Una maana gani? Kwani machozi ya wabunge ndio yenye thamani sana, au wenyewe ndio wanauchungu sana?
Sasa nakufundisha mtu, yeyote anaekimbilia kulia kabla ya kujieleza ni muongo, mnafki, na mpigania tumbo lake. Machozi hayabadilishi chochote kutoka uongo kuwa ukweli, au kinyume chake.
Kwa akili zako ndogo, hata hujui kuwa waliokuwa viongozi wa TFF walishatoka jela ? Na kumbe hujui zile kesi zilikuwa za kulipiza kisasi, kutoka utawala B kwenda utawala A!!! Poleni sana, maana kazi yenu ni kusubilia Jiwe ameagiza nini na nyie mshangilie.
Hao mnaoendaga kuwakopa hela mitaani, Tena kwa riba kubwa huku mkiwekeza magari na hati za nyumba zenu. Wana leseni ya kukopesha kutoka BOT au wanalipa kodi TRA?
Nanukuu kauli ya Mh Peter Msigwa " kumchukia tajiri, hakukufanyi wewe maskini kuwa tajiri" najua mawakala wa shetani mmeagizwa kushapulia kitu cha hovyo, kuwa Mwamba eti amekula hela za Chadema. Subilini tu, muda ndio rafiki wa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.