Recent content by gudiboi

  1. gudiboi

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie subirin ligi zirud burudan iendelee
  2. gudiboi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Frank tunakuomba ulifanyie kazi hili jambo
  3. gudiboi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kweli aisee tufanye hivyo
  4. gudiboi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu kmb upo huku, au ni majina tu yanafanana
  5. gudiboi

    Uwezo wa Ronaldinho Gaucho uwanjani ulikuwa ni upi?

    We ulieuliza kuhusu Gaucho naona ulitaka tu kubishana na watu. Wenzio wanauliza vitu ambavyo hawavifahamu, sasa ww unauliza huku una majibu yako. Gaucho alifunga magoli mengi ya freekick. Ingia youtube utayaona hata faulo mbazo hakuna mchezaji mwengine aliyefunga. Na timu zote alizochezea yy...
  6. gudiboi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    M bet nao wanatoa bonus[emoji849][emoji849][emoji849]. Baada ya kuona wateja wanawakimbia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. gudiboi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukiona hivo huwez kuwithdraw kwa njia iyo ya mastercard za mitandao ya simu. Nnavojua wabongo km ingekuwa inawezekana kuwithdraw kwa izo master card za mitandao ya simu, saiv wengi wangekuwa wanatumia
Back
Top Bottom