Recent content by Gubilant

  1. G

    Waziri wa Vijana anaweza fanya vizuri akiwa na working plan. Ita watu wafuatao waje kukuelezea shida ilipo

    Kama huyo Nnauka kweli ana utimamu then kwanini yupo CCM? Kwa nini yupo kwenye chama ambacho ukikikosoa asubuhi crusier nyeupe inakuja kukubeba unapotea? yupo hapo alipo kwaajili ya maslahi binafsi na amefanikiwa. Hayupo kwaajili ya kutumikia watu wa haki na uwajibikaji. Hana tofauti na...
  2. G

    Urusi yaingilia kati matamko ya mabalozi

    Kichwa cha huu uzi kinapotosha Context ya Sweden kusitisha bilateral cooperation ni kwa sababu pesa zinaenda kufund Ukraine war. Hao Russia na sweden wapo wanajibizana kuhusu vita ya ukraine na Russia na sio kuhusu matamko ya mabolizi kuhusu serikali ya TZ
  3. G

    Urusi yaingilia kati matamko ya mabalozi

    "Context ya Sweden kusitisha bilateral cooperation ni kwa sababu pesa zinaenda kufund Ukraine war."
  4. G

    Raisi ajaye tanzania: Sheria ni siasa zinafanyika mwaka wa uchaguzi tu, baada ya uchaguzi watu waonekane wanafanya kazi nothing more or less than that

    Kwa hiyo unataka baada ya uchaguzi watu wasidai haki? wasiongelee ufisadi, ukandamizaji na kudai reforms?
  5. G

    Raisi ajaye tanzania: Sheria ni siasa zinafanyika mwaka wa uchaguzi tu, baada ya uchaguzi watu waonekane wanafanya kazi nothing more or less than that

    Unajua maana ya siasa? Siasa sio mikutano ya hadhara au kampeni. As long as unapumua basi upo unafanya siasa, na kuzuia siasa maana yake ni kuua watu. Kama wanachoendelea kukifanya CCM, kuteka na kuua.
  6. G

    PostGE2025 Unauliza nguvu ndogo ndo ipi? Kwa hiyo nguvu kubwa ndo kuua kwa risasi, kuzika kwenye makaburi ya halaiki na kuzuia majeruhi kutibiwa? Tukutane ICC

    oct 29 ilikuwa vita kati ya serikali na wananchi, serikali iliuona ukweli kwamba almost wananchi wote wapo against serikali, iliona almost wananchi wote wanataka mapinduzi, basi seikali ikaamua kuingia barabarani na mitaani kushoot mwananchi yeyote watakae muona mbele yao. Hawakujali nani ni...
  7. G

    PostGE2025 Padri Kitima: Kulikuwa kuna maana gani kuwaambia watu wakae ndani halafu wanafuatwa mtaani na majumbani na kuuawa?

    Nani anachochea moto? katoliki? Katoliki wanaongea ukweli, kuongea ukweli ni kuchochea moto? Ungependa wakae kimya, wasiongee? Mtu mwenye utu na uwezo wa kufikiri hawezi kukaa kimya kuacha yaliyotokea yapite, ni yule tu aliyesaliti Utu wake anaweza kuona kilichotokea ni sahihi na kuacha kipite...
  8. G

    PostGE2025 Padri Kitima: Kulikuwa kuna maana gani kuwaambia watu wakae ndani halafu wanafuatwa mtaani na majumbani na kuuawa?

    Unadhani katoliki kupaza sauti juu ya yaliyotokea kuna faida wanapata? Nope, zaidi wanajiweka pabaya na serikali na bado wamechagua kuongea, wamechangua kusimama na majority wananchi. Uliyosema hapo juu ni propaganda ambazo serikali na chawa wa CCM wamekulisha. kaa chini utafakari
  9. G

    PostGE2025 Padre Kitima: Hatuko salama, watu wanatekwa, wanapotezwa, wanauawa, Vijana wamechoka

    Ok, mmefanikiwa kuua watu 3000+, hongereni kwa ushindi.
  10. G

    PostGE2025 Padri Kitima: Kulikuwa kuna maana gani kuwaambia watu wakae ndani halafu wanafuatwa mtaani na majumbani na kuuawa?

    Mi ni KKKT, ila nimetokea kuwa kuikubali na kuheshimu Katoliki. wanasimama kwenye ukweli, hawaogopi wa hawasiti kuongea. Taasisi zingine za kidini zipo tu hapa kukusanya mapato sadaka na kuombea utulivu ili wanendelee kukusanya. hawajaribu kusema ukweli juu ya kinachoendelea. shame.
  11. G

    PostGE2025 Padre Kitima: Hatuko salama, watu wanatekwa, wanapotezwa, wanauawa, Vijana wamechoka

    Maoni yako ni yapi? kwamba it's okay watu kupigwa headshots kwa sababu waliandamana? Utasema walifanya wizi na kuharibu mali, mwizi asiye na bunduki inabidi apigwa headshot? Haya ndo unayaita maoni tofauti?
  12. G

    PostGE2025 Padre Kitima: Hatuko salama, watu wanatekwa, wanapotezwa, wanauawa, Vijana wamechoka

    Unalipwa bei gani kuusaliti utu wako, CCM wanakupa shi ngapi, million? Billion? kitu pekee kinachokufanya uwe Mtu ni uwezo wa ku-think, umegoma kuthink, umekuwa mbwa wa CCM
  13. G

    PostGE2025 Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza kikao maalumu cha Kamati Kuu ya CCM

    Wametumia guns kubaki kweny power, hawa ni criminals na sio viongozi wetu.
  14. G

    Biblia haikatazi mtu kuoa wake wengi, wanaokataza sijui wanatumia andiko lipi

    No. Ndoa ni bond na msingi wake ni upendo, compassion love + erotic love + agape love, na upendo wa namna hii unatokea kwenye pair, ikishakuwa kuwa zaidi ya watu wawili basi huwezi kubalance, sababu ni wivu na attention, lazima kuna wawili wataform strong bond na wengine watahisi wameachwa nje...
Back
Top Bottom