East Africa yote imeoza inahitaji reform
Ili swala la Mali zote kumilikiwa na 1% of total population in East Africa Ni hatari Sana
Na ndio swala litaleta mgogoro East Africa
Baada ya tanzania kufanikiwa kusimika utawala wa kiraia
Itakuja Uganda itakuwa Kenya itaenda Rwanda itakuja Burundi...
Wanamtandao wanakata tawi walilokalia wanafikili wataanguka walala hoi pekee?
Nawaambia tawi likikatika wakwanza kudondoka Ni mafisadi.
Wananchi hasa vijana hatuna Cha Kupoteza
Endeleeni kushupaza shingo muone tunavyoenda kuwashughulikia
Yaani mpaka sasa bado tu hamjui vijana ndani ya mfumo...
Kumbe hata watu waliozikwa Ni zaidi ya elfu 10
Wameua watu wengi Hawa mbwa
Halafu kwenye kadamnasi kikwete tabasamu za kinafiki
Kikwete na Samia Ni magaidi wa Taifa Hawa mbwa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.