Hakuna mwenye nia ya dhati ya kupambana na hawa Wauzaji wa unga(Drug dealers) hizi ni biashara za wakubwa kwa hiyo inahitajika nguvu ya ziada kupambana na huo mtandao,,, la sivyo itakuwa upigaji wa kelele usio na msingi.. Huu ni mtandao mpana sanaaaa.
mbona fast jet anatumia gar za serikali kwa shughuli kichama?acha kuwa na fikra finyu... nafikuri jf ni kwa ajili ya kujadili mambo ya msingi kwa maendeleo ya Taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.