DUUH!NI KWELI NDUGU,lakini wafanyacho wao ni kufuata miongozo waliyopewa kuhusu ugawaji wa mikopo.TATIZO LINAKUJA KUWA NI ZILE KANUNI zinazowaongoza Hazitambui "some"cases kama hizo ulizoandika!
Ila dah,POLENI SANA,
dont lose hope my bro&sisters!
nenda kwa mwajiri wao yaani Mkurugenzi wa halmashauri husika..
Kwakuwa ndani ya hao wenye #vyeti # pia kuna madaraja tofauti na wana mishahara tofauti.same applied to dipl
Wewe umeona!mimi cjaona sasa nitaamini kivipi#maneno yako c kama ya kwenye bible ambapo ninayaamini japo sikuyaona matukio yaliyoelezwa mule.....Bhado nina sita sita kuyaamini !j
Hapo nadhani kwa kozi unayosoma haina field kwa mwaka huu husika wa mkopo.thus y...coz kwa koz yangu M.D nimewekewa iyo 0 na hata ktk prospectus ya chuo wame indicate hivyo yaani 0
ila wakati wanatangaza walisema kuwa for those ambao ni first time wamewaunganisha form six pamoja na ambao wako tayari vyuoni ila ni kwa mara ya kwanza kuomba/hawakupewa ktk miaka iliyopita.#wamewa group pamoja#source pitia lile tangazo lao heslb.
Secure means fasten/fix or protect something/free from loss/danger.
Kwakuwa umeandikiwa didn't secure.bhas it means hukuweza ku#wa free from loss#means ume kuwa in danger!Kwa ufupi UMEKOSA ..nimejaribu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.