Recent content by Green49

  1. Green49

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Kama hili jambo ni la kweli ...sijui nchi yangu inaelekea wapi ,kwa miaka mingi hawa watu wamekua wakifanya mahojiano kwenye vipindi mbalimbali na watu wengi wakubwa wa serikali kama wanahabari .....sasa je mamlaka hizo za habari hazikuwahi kujua kuwa watu hao sio wasomi na hawajasajiliwa...
  2. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    tanga lushoto kiongozi
  3. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Tuko pamoja
  4. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Ulipata hasara kwenye angle gani ndugu
  5. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Kama uko karibu na estate kubwa ya kuchakata mkonge unaweza uza hapo, ama kwa wamiliki wa mashine ndogo ambao wapo karibu yako pia wote wananunua mkonge .......morogoro uko sehemu gani ?
  6. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Asante sana, kwa kununua brush(fiber) mtaji bado uko chini kidogo ndugu na kwa upande wa kulima mkonge inawezekana kwa mtaji huo ,ikikupendeza pia unaweza kufika site ili kupata maarifa ,kujionea fursa nyinginezo kwenye mkonge na pia kujifunza zaidi kwa vitendo .......karibu sana.
  7. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Zaidi ya miaka 7
  8. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Tuko pamoja
  9. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Mawasiliano yangu yapo page ya mwisho ya pdf kiongozi
  10. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Mtu yeyote anaweza kujihusisha na mkonge ndugu, ukisoma pdf utaelewa zaidi
  11. Green49

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    Habari wanajamii forum ,mimi ni mdau wa muda mrefu sana ndani ya forum hii lakini nikiwa kama msomaji tu, kupitia forum hii nimejifunza mambo mengi, nimecheka na kufurahi, pamoja na kuelimika kwenye baadhi ya mambo ambayo sikuwa nayaelewa vizuri hapo mwanzo. Lengo kuu la kuleta huu uzi kwenu ni...
Back
Top Bottom