Habari, Inasikitisha kuona kampuni kubwa zinazojishughulisha na miamala ya kifedha zikiwa na system poor kiasi na rahisi kuibika ok by the way niachane na hilo.....
Nilikuwa na jaribio langu la ki teknolojia kwa hawa Tala na Branch lengo likiwa ni kubypass madeni yangu niliyokuwa nayo katika...
Tumeweka utaratibu huo kwa sababu wengi wa wateja hawapo serious unakuta anaomba mkopo surveyor akifika mteja anakuwa hayupo responded ndiyo maana tukaamua kufanya hivyo ili mtu akitoa kiasi chake kidogo cha pesa atakuwa responded
Mkuu hiyo ni gharama ya surveyor kwa ajili ya kukagua hivyo hiyo gharama hutolewa kabla ya surveyor kutoka ofisini na hiyo ni taratibu ya ofisi,vilevile surveyor akifika eneo husika ndiyo ataidhinisha mkopo na uhakika wa kuidhinisha mkopo upo kama hataidhinisha pesa yako ya kumsafirishia...
Sio mkali mkuu isipokuwa najibu kutokana na mtu alivyoni attack mfano wengi wanasema mimi tapeli sina la ziada la kuwaambia kwa sabau sio lazima kukopa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.