Hi nchi ni sisi wenyewe wazawa tunaweza kuikomboa toka mikononi mwamafisadi, tujaribu kuwapa uongozi wa nchi chama tofauti na CCM. Kubadilsha maraisi haitusaidi, CMM unaweza kuifananisha na Mbarak. Hawa jamaa wanalinda kunjia moja au nyingine. Hapa nikugoma nchi zima kama egypt tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.