ukimuomba mungu kwa imani,matumaini na maleongo anakupatia fasta.lakini ili uwe tayari kupokea nilazima ukubali kutoa,namaanisha inabidi uvunje ukuta uliojiwekea baina yako na mungu nao ni dhambi hata zile za mauti.mfano wewe ni mzulumati au unafanya ngono ovyoovyo kwa kuvunja amri za mungu na...
lol..!yericko akipotea ujue yuko chamber anachakata taarifa za kiintelijensia. akionekana sasa ni kasheshe,haya sasa kamwaga madini hayo.yericko raisi ajaye kwa tiketi ya ukawa
haswa.mbia simba trust ndo mwenye project nzima ya escrol na chakushangaza ndiye mkuu wa nchi.alafu unategemea nani awajibishwe kwa project ya mtu.yeye kama raisi atoke madarakani kwa kuwa ndie mwenye project ya escrow.pamoja na project zote zilizopita za kuifilisi nchi hii.hakika jakaya kikwete...
ZITTO ZUBERI KABWE(ZZK) ni chatu. hang'ati ila anameza na kuviringisha ili anyonge vizuri lakini akichanjwa mkiani husikia maumivu na kumsababishia mauti.zzk moja ya wajanja wakitanzania wanaotajirika kupitia siasa na kuifanya siasa kuwa biashara yenye gharama ya hali ya juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.