viongozi wanatukana arharani, alafu wanatuomba ridhaa ya kuwachagua,mi naona wangekuwa wanashindana kwa sera zenye kujenga na si kutumia lugha za matusi na jaziba,maana mie kama mtanzania niliyeelimika nimesha mshushia heshima yake kiongozi kama huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.