Swala la kutekwa au kuuwawa binadamu siyo jema kabisa hata Mimi nalipinga sana. Lakini kutufunga kamba kwamba gesi buku mbili siyo sawa pia. Tunaomba bwana kimwaga amwage data zilizopatikana hapo ubalozini
Bei ya kofia ya Mamelody ni randi 330 sawa na 48,000 pesa ya Tanzania na jezi ya Mamelody ni zaidi ya 150,000 tshs. Sababu ya kuuzwa bei mbaya ni kwamba Jezi za mamelody zinatengenezwa na kampuni ya ULAYA iitwayo PUMA(Ujerumani)
Pia kwa mujibu wa Mghana Micky Jnr Jezi ya Esperance ni euro 84...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.