katiba mpya yaja hapo ndipo watakapo lia na kusaga meno baada ya kupoteza vyeo vyao, tuvute subira tu MWENYEZI MUNGU anatuona watanzania tunavyolia:bange:
kajipange tena uje na thread nyingine , ulidhani warioba ataacha kumsapoti bossi wake aliye mpa ulaji, na kuhusu gesi ulitataka waambiwe kuwa wananchi wa mtwara na lindi ni WAPUUZI na WAHAAINI, kajipange kijana
<br>
<br>
kwa hili la gas waziri mwongo (muhooongo) analigawa taifa , anataka kutuambia mapato yote ya bujeti ya nchi yanatoka dar eti 80 per cent. kama ni hivo tusitengemee viwanda kujengwa mikoa mingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.