Habari zenu ndugu zangu nimeamua kuja na Id mpya kulingana na unyeti wa swala langu, Natumai kuwa humu kuna watu wazima na walionizidi mawazo ndo maana nikaja kuomba msaada wa mawazo kwenu .Iko hivi mwaka 2012 nilifunga ndoa ya kimila huko shinyanga ila binti ni muha japo mimi ni msukuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.