Wakuu msaada hapa mawazo tutani, napenda sana biashara ya samaki, naomba kujua ni kwa namna gani nitafanya bishara hii japo kwa mtaji mdogo ila tu inipe faida.
Kwa uenyeji mimi nipo mkoa wa mara jirani na ziwa victoria napenda sana kuiweza hii biashara na kama kuna mtu tunaeza piga nae mtaji...
Wakuu samahani nimekwama hapa, nawaza ni biashara gani naweza fanya ya mtaji wa milioni 2 nikapata faida pamoja na rejesho la kila wiki shilingi elfu 90, kwa mwenye wazo anisaidie tafadhali
Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye.
Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina mazungumzo kidogo
Nina wazo la kufanya biashara ya ndizi either kutoka Bukoba kwenda Mwanza ama Dar, na mikoa mingne ila sina idea yoyote ya wapi naanzia, mtaji kiasi gani unahitajika na masoko yapoje.
Kwa anaefahamu naomba anipe shule kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.