Recent content by Goodluck7

  1. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kwenye biashara ya kuuza samaki

    Wazo zuri sana
  2. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kwenye biashara ya kuuza samaki

    Wakuu msaada hapa mawazo tutani, napenda sana biashara ya samaki, naomba kujua ni kwa namna gani nitafanya bishara hii japo kwa mtaji mdogo ila tu inipe faida. Kwa uenyeji mimi nipo mkoa wa mara jirani na ziwa victoria napenda sana kuiweza hii biashara na kama kuna mtu tunaeza piga nae mtaji...
  3. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Msaada: Bei ya Sato kwa Dar es Salaam na Dodoma

    Buchani pia na sokoni kama utapata muda mzuri
  4. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Msaada: Bei ya Sato kwa Dar es Salaam na Dodoma

    Naomba kujua bei kuu ya kilo moja ya samaki aina ya sato wa ziwa victoria, bei yake kwa Dar es Salaam na Dodoma ni shilingi ngapi kwa kilo moja?
  5. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mtaji wa milioni 2

    Wakuu samahani nimekwama hapa, nawaza ni biashara gani naweza fanya ya mtaji wa milioni 2 nikapata faida pamoja na rejesho la kila wiki shilingi elfu 90, kwa mwenye wazo anisaidie tafadhali
  6. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mwenyeji wa Biashara ya Samaki ziwa Viktoria

    Mkuu,sdhani kama wakurya wote wapo hivo ndugu yangu Kwa upande wangu mm sina tatizo
  7. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mwenyeji wa Biashara ya Samaki ziwa Viktoria

    Nipo mkoa wa Mara
  8. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mwenyeji wa Biashara ya Samaki ziwa Viktoria

    Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye. Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina mazungumzo kidogo
  9. Goodluck7

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri

    Nina wazo la kufanya biashara ya ndizi either kutoka Bukoba kwenda Mwanza ama Dar, na mikoa mingne ila sina idea yoyote ya wapi naanzia, mtaji kiasi gani unahitajika na masoko yapoje. Kwa anaefahamu naomba anipe shule kidogo
Back
Top Bottom