Wadau m-pawa nimeisikia ikitangazwa sana kuwa itatusaidia sana wajasiriamali hasa wadogo. Kwa
kuwa tukiweka hela yetu itakuwa inazaa faida. Naomba mwenye uelewa wa namna faida inavyopatikana anisaidie nisije kuwa napishana na fursa nzuri ya biashara?
Naomba nisaidiwe majina ya migodi ya madini yafuatayo na sehemu ilipo hapa Tanzania.
1. Dhahabu
2. Almas
3. Gas
4. Uranium
5. Mafuta
6. Makaa ya mawe
7. Tanzanite
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.