Recent content by Gonzalo Miguel

  1. Gonzalo Miguel

    Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

    Ni Ni sawa kaka pombe nayo inachangia umasikini, ila nimmpinga mtoa mada ameiterm pombe kama ni sababu kuu, kuna watu hata radha ya pombe hawijui ila wanakufa maskini kisa wanawake (ndugu yake pombe) kunawengine kamali, napia nimempinga mtoa mada kwamba wanunuaji wa pombe tunawatajirisha...
  2. Gonzalo Miguel

    Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

    Mnavoongea as if pombe ndio sababu kuu ya umasikini lakin na wanywaji wanatajirisha matajiri, tajiri wa Azam je ni pombe zile zinamtajirisha, kila kitu kinamadhara yake sikuhiz. Kuna nchi ni marufuku pombe lakin umaskini upo palepale...
  3. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Kwa wakiti ule ilikuwa pesa ndefu😂😂😂
  4. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Hii toy nilkuwa nashuhudia kwa watoto wa walimu kota aisee nilkuwa na ndoto kujakuipata miaka hiyo
  5. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Wengine tumeshudia wakishua wakitumia mana tulikuwa haturusiwi kuminyamunya tusije haribu🤣🤣🤣
  6. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Hii vibanda vya kuchezesha games ilkuwa tsh200 dakika 10 unacheza
  7. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Hii toy nilkuwa nashuhudia kwa watoto wa walimu kota aisee nilkuwa na ndoto kujakuipata miaka hiyo
  8. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Hii kitu ilkuwa inauzwa kwa machinga tsh 2500 aisee, afu kulikwa na zile zinatumia cards za games mbalimbal kama tano hivi dah long time aiseee
  9. Gonzalo Miguel

    Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

    Ilkuwa ni music portable device mahususi kucheza nyimbo zilzo hifadhiwa kwa njia ya cd
  10. Gonzalo Miguel

    Ijue Top 10 ya nyama pendwa duniani

    Kumbe kuna kuku kwenye list nimekimbia upesi kujua aliye shika usukani, kuku ni kama Suti harusini ila jeans namba moja kuvaliwa.ni opinion 🤣🤣🤣
  11. Gonzalo Miguel

    PICHA HIGH QUALITY: Matukio mbalimbali ya Julius Kambarage Nyerere

    Na mm nilisimuli wanasema Ulikuw unga wa njano miaka ya 70s kuna ukata na njaa uliichapa bongoland nzima ko ukawa msahada wa mahindi kutoka US yalikuja ya njano unga unatoka wa njano nasikia ad bata walianza kususa ugali wa njano mana kilikuwa ni chakula kikuu ukiachana na ugali wa Muhogo,mtama...
  12. Gonzalo Miguel

    Irente, Lushoto: Je, wajua chanzo cha jina Irente?

    imefanana na ya Kyela kuna eneo linaitwa Bujonde jina Bujonde” limetokana na neno beyond ambalo Wanyaki wa kyela awakulinyaka vizuri kutoka kwa mzungu...sina uwakika nilipewa kahistori na Mmjomba mda kidogo
Back
Top Bottom