wewe si kirahisi vile nataka nikupigie simu kila siku usiku saa 7 tuongee tena kwa sauti kwa muda wa mwezi mzima kabla ya chochote ujue mtu usiyemjua usimkurupukie kama zile risasi za Kinondoni mkuu
Hahahahahaha yani wewe acha tuu vituko mwingine aliniambia atoke moro aje akae kwangu siku mbili tuongee vizuri tupange mipango eti hana pa kufikia wengine tuliwashiana moto kabisa kuchambana kisa kuwapa live
Hahahahahaha mkuu mimi ni mwanamke kabisa najua huwezi kuamini ila nilivyo ni ngumu kudanganywa na wanaume wenye akili ndogo mpaka uwe mjanja zaidi yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.