Recent content by gonamwitu

  1. gonamwitu

    Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

    hajamfunga orlando away acha bangi alipigwa kimoja akashinda kwa matuta
  2. gonamwitu

    Hawa ndiyo Waafrika wanaolipwa pesa ndefu kwenye Mpira wa miguu

    no ahmada wa azam 50m per month
  3. gonamwitu

    Fountain Gate yainunua Singida Big Stars. Klabu hiyo sasa kuitwa Singida Fountain Gate Footbal Club

    hujui? azam wameshanunua timu ya wanawake kitmbo tu
  4. gonamwitu

    Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

    aache muziki afunge na wasafi radio & tv kama hana shida na pesa
  5. gonamwitu

    Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

    kumbe sio gsm,nabi wala uwezo wa wachezaji ni hamasa za manara ndio zimewapa kombe?
  6. gonamwitu

    Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

    kwani lini amewahi kuwa shabiki wa simba zaidi ya kuangalia pesa?
  7. gonamwitu

    TECNO wamejitafuta wamejipata kwa hili sio poa

    tekno ya laki 1 na nusu hiyo tumia tekno angalau ya 450k and above
  8. gonamwitu

    Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

    jifunze kwanza kuandika "muhamara" ndio kitu gani?
  9. gonamwitu

    Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

    huo utumbo uliouandika huko labda asome hawara yako
  10. gonamwitu

    Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

    hiyo unasema wewe shabiki wa andazi fc ila mama katoa amri fei aachiwe huru na imetekelezwa
  11. gonamwitu

    Yanga: kuifundisha Simba jinsi ya kushinda popote

    horoya alimtoa asec mimosas aliyefika nusu kwenye kombe lenu la andazi cup,vipers akamtoa mazembe halafu sisi simba tukawagonga wote wawili asec na vipers
  12. gonamwitu

    Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

    fainali2 za uefa
  13. gonamwitu

    Kuingia fainali kwa timu ya Yanga na USM Alger ni Mtihani mkubwa sana

    acha uongo utopolo wewe mbumbumbu usiejua kitu mwaka 2015 walicheza fainali na tp mazembe
  14. gonamwitu

    Je, ni usajili Gani Simba tulipigwa?

    mama doumbia djuma shabani denis nkane ambundo
Back
Top Bottom