ACT KUDHIHIRISHA UCCM WAKE KWA VITENDO..
CHAMA cha ACT- Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, umeandaa maandamano ya kumuunga mkono Rais Dkt. John Magufuli katika mapambano yake dhidi ya rushwa, ufisadi na kusimamia ukusanyaji kodi kama ilani ya chama hicho inavyosema.
Katibu wa chama...
Habari zilizotufikia jioni hii zinasema kwamba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina-Ompeashi-Kombani (pichani), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.-
Taarifa kutoka ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kueleza kwamba...
Habari zilizotufikia jioni hii zinasema kwamba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina-Ompeashi-Kombani (pichani), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.-
Taarifa kutoka ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kueleza kwamba...
Muafaka kwa majimbo umesha malizika bado majimbo 15 yakiwemo majimbo mapya 13 na yazamani 2, na viongozi wetu naona ndo wanarejea kwenye meza ya busara kwaajili ya kumalizia mchakato huo na kutangaza azma hiyo hivi punde... hii ilichelewa ni kutokana na kusuburia kujua majimbo mapya ambayo...
Mhe Said Hassan Said awa
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein, amefanya Uteuzi
wa Mwanasheria Mkuu wa Serekali
ya Mapinduzi Zanzibar, kwa mujibu
wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu
55(1)cha Katiba ya Zanzibar ya 1984...
Mhe Said Hassan Said awa
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein, amefanya Uteuzi
wa Mwanasheria Mkuu wa Serekali
ya Mapinduzi Zanzibar, kwa mujibu
wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu
55(1)cha Katiba ya Zanzibar ya 1984...
SUCCESSFUL EDUCATION & TRAINING CENTRE.REG NO,P2673
Ni kituo cha Mitihani ya Necta Na kinatoa huduma zifuatazo:
1.Elimu ya Sekondari kwa miaka2 yaani QT.
2.Wanaorudia mitihani ya 4m iv na vi combination zote
3.Pre-form V comb. zote
4. Computer na English course
na tunayo pia Nursery .BEI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.