Recent content by Goldenmjema

  1. G

    JamiiForums Tanzania Boma linauzwa mwandege

    Mwandege magengeni wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani, boma linauzwa la vyumba vitano,lipo barabara ya mtaa dakika 5 main road bei MIL 8 ukubwa Sqm400.0767600250/ 0674913177
  2. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Sehemu mbalimbali Dar

    Heka moja bei milioni 15, zimepakana heka 3 sehemu 1, Kigamboni Kimbiji kwa Morris. Maeneo yanafaa kwa kuuza viwanja pia unaweza nunu heka ukakata viwanja sehemu tambalale mnoo viwanja pia karibuni. Mawasiliano: 0767600250/0674913177
  3. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Sehemu mbalimbali Dar

    Eneo lina SQM 18,644 Bei MILIONI 850 DEGE BEACH KIGAMBONI LIMEPIMWA lina HATIMILIK 0767600250/0674913177
  4. G

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Mwandege, Magengeni

    Mwandege wilaya ya Mkuranga. Mkoa wa Pwani, Mwandege. Nyumba ina vyumba vitano na sitting room. Ina choo cha kudumu/shimo. Nyumba ipo kwenye lenta bado kupaua tu. Ipo kwenye Barabara ya mtaa/nguzo ipo. BEI: MILIONI 8/INAFAA KWA KUPANGISHA 0767600250/0674913177 Nyumba za kupanga 150k-200k/za...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Sehemu mbalimbali Dar

    Mkoa wa dar es salaam, wilaya ya temeke,eneo mbagala chamanzi kwa mapunda pia ni njia fupi ya kutokea magole/kitunda mpakani mwa wilaya ya ilala na temeke.Karibuu boss
  6. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Sehemu mbalimbali Dar

    Nyumba ina vyumba vinne viwili master, jiko,sitting room na dinning room, ina public toilet, ina SQM 700. MBELE KUNA CHUMBA MASTER NA SITTING ROOM IPO KWENYE USAWA WA LINTA.UNA BANDA LA VIDEO LA KISASA KWA MBE BEI MILIONI 50. 0767600250/0674913177
  7. G

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Mwandege Magengeni

    Kutoka kariakoo paka mwandege unapanda bus moja la gerezani mwandege or gerezani kisemvule nauli 850.tandika/temeke nauli 600,kigamboni 700.karibuni
  8. G

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Mwandege, Bakhressa

    Nyumba ya Vyumba vitatu, jiko, sitting room, chumba kimoja master. Eneo kubwaa linatosha kuzungusha fensi, dakika 5 main road ya kilwa road. Mwandege iko mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, unaanza Mwandege ndo unaenda vikindu, then Kisemvule hadi Mkuranga karibu. 0767600250/0674913177
  9. G

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Mwandege Magengeni

    Nyumba ina vyumba vinne,kimoja master,sitting room,dinning room, jiko,public toilet ndani eneo kuubwa unaweza kufuga. Kodi laki mbili na nusu kwa mwezi,umbali wa dakika 5paka 8 kutoka main road kwa kutembea. Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.0767600250
  10. G

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA MWANDEGE MAGENGENI

    Nyumba iko mwandege magengeni wilaya ya mkuranga,mkoa wa pwani, dakika 5 kutokea main road ya kilwa road ilipo, Ina vyumba vinne kimoja master dinning room,sittng room,kitchen,stoo.uhani ina chumba na sitting room na mabanda mawili ya chumba seble eneo sqm 1500.bei milioni 90 ina umeme na maji...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Nataka kujenga Kigamboni, ushauri tafadhali

    Kimbiji kwa Morris heka moja na robo bei milioni 15,mbutu kigamboni kiwanja kimepimwa kabisaa kina ukubwa wa sqm 1298 kina hati ya wizara ya ardhii bei milioni 40 dakika 4 beach.0767600250
  12. G

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ipo Mwandege - Magenge INAUZWA

    Nyumba inauzwa Mwandege Magengeni barabara ya Kilwa road, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Ina vyumba vinne sitting room chumba kimoja master, jiko, kisima cha maji, stoo ndani full tank. Uani ina chumba na sebule na banda la kufugia. Iko ndani ya ya fency. Dakika 3 main road ya Kilwa road...
  13. G

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ipo Mbezi Kibamba inauzwa

    Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70, 0767600250/0674913177
  14. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba Sehemu mbalimbali Dar

    Kiwanja KINA sqm 1298 kipo Mbutu kigamboni, kina hatimiliki ya wizara ya ardhi isiyokuwa na deni,kutoka kiwanja kilipo kufika Baharini ni dakika 4 tu kwa kutembea. Bei milioni 40. 0767600250/0674913177
Back
Top Bottom